Section outline

    • Ifikapo mwisho wa somo hili, wanafunzi wataweza:

      By the end of this lesson, learners will be able to:

      • Kutambua na kutamka konsonanti za Kiswahili kwa usahihi.
        (Identify and pronounce Swahili consonants correctly.)

      • Kuelewa jinsi konsonanti na irabu zinavyounda silabi.
        (Understand how consonants and vowels form syllables.)

      • Kutambua miunganiko ya kawaida ya konsonanti katika Kiswahili.
        (Recognize common Swahili consonant clusters.)

      • Kuboresha ufasaha na usahihi katika matamshi ya Kiswahili.
        (Improve fluency and accuracy in Swahili pronunciation.)