Section outline

    • Mwisho wa somo hili, wanafunzi wataweza:
      (By the end of this lesson, learners will be able to)

      • Kuelezea viambishi na kazi yake katika sarufi ya Kiswahili (Define Viambishi (affixes) and their function in Swahili grammar).

      • Kutambua viambishi vya awali, viambishi vya kati, na viambishi vya mwisho katika maneno ya Kiswahili (Identify prefixes, infixes, and suffixes in Swahili words).

      • Kuelewa jinsi viambishi hubadilisha maana na muundo wa kisarufi (Understand how affixes change meaning and grammatical structure).

      • Kutumia viambishi kwa usahihi katika nyambuliko la vitenzi, uundaji wa nomino, na ujenzi wa sentensi (Apply affixes correctly in verb conjugation, noun formation, and sentence construction).

      • Kuboresha ufasaha wa kutambua na kutumia viambishi katika mawasiliano ya Kiswahili (Improve fluency in recognizing and using affixes in Swahili communication).