Section outline

    • Mwisho wa somo hili, wanafunzi wataweza:
      (By the end of this lesson, learners will be able to)

      • Kuelezea na kutambua nomino za ngeli ya KI-VI (Define and identify nouns in the KI-VI class).

      • Kutumia upatanishi sahihi wa vitenzi na vivumishi kwa nomino za KI-VI (Apply correct verb and adjective agreements with KI-VI nouns).

      • Kuunda sentensi sahihi za kisarufi kwa kutumia nomino za KI-VI (Construct grammatically accurate sentences using KI-VI nouns).

      • Kupanuwa msamiati kwa kutumia nomino za kawaida za KI-VI (Expand vocabulary with common KI-VI nouns).

      • Kuboresha ufasaha wa matumizi ya nomino za KI-VI katika mazungumzo ya kila siku (Improve fluency in using KI-VI nouns in daily conversation).