Main content blocks
Section outline
-
-
Mwisho wa somo hili, wanafunzi wataweza:
(By the end of this lesson, learners will be able to)-
Kuelezea maana ya lugha na umuhimu wake katika mawasiliano ya binadamu (Define Lugha (Language) and its significance in human interaction).
-
Kufafanua kwa nini lugha ni muhimu katika mawasiliano na utambulisho wa kitamaduni (Explain why language is important in communication and cultural identity).
-
Kutambua sababu zinazosababisha kuenea kwa lugha (mfano: biashara, uhamiaji, ukoloni, vyombo vya habari) (Identify the factors that lead to the spread of a language (e.g., trade, migration, colonization, media)).
-
Kujadili sababu za kupotea kwa lugha (mfano: ukosefu wa wazungumzaji, athari za lugha zinazotawala) (Discuss the causes of language decline (e.g., lack of speakers, influence from dominant languages)).
-
Kuelewa miundo ya msingi ya lugha ikiwemo sauti, silabi, maneno na sentensi (Understand basic language structures, including sounds, syllables, words, and sentences).
-
Kujenga msingi wa kujifunza miundo ya kiisimu ya Kiswahili (Develop a foundation for learning Swahili linguistic structures).
-
-