Section outline

    • Baada ya kukamilisha moduli hii, mwanafunzi atakuwa na uwezo wa:
      (After completing this module, the student should be able to)

      • Kutambua na kutamka vokali tano za Kiswahili: A, E, I, O, U (Identify and pronounce the five Kiswahili vowels: A, E, I, O, U).

      • Kuelewa kuwa sauti za vokali katika Kiswahili hubaki thabiti katika maneno yote (Understand how Swahili vowel sounds remain consistent in all words).

      • Kutambua vokali katika maneno rahisi (Identify vowels in simple words).